JANJARO ATOA MACHOZI: GOZBERT AMUOKOA - play me

JANJARO ATOA MACHOZI: GOZBERT AMUOKOA







Alianza kwa kuwarusha watu, showa za kibabe kama kawaida yake. Mwisho wa siku aliimba #Imani, na uwanja ulimshuhudia akienda chini kupiga magoti hadi pale #GooluckGozbert alipopanda jukwaani na kumfariji